Add parallel Print Page Options

Walinzi Wamdhalilisha Yesu

(Mt 26:67-68; Mk 14:65)

63 Walinzi waliokuwa wanamlinda Yesu walimfanyia mizaha na kumpiga. 64 Wakayafunika macho yake ili asiwaone. Kisha wakampiga na wakasema, “Tabiri, tuambie nani amekupiga!” 65 Walimtukana pia matusi ya kila aina.

Read full chapter