Font Size
Luka 22:64-66
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:64-66
Neno: Bibilia Takatifu
64 Wakamfunga kitambaa usoni kisha wakasema, “Hebu nabii tuambie! Ni nani amekupiga?” 65 Wakamwambia maneno mengi ya kumtukana. Yesu Apelekwa Mbele Ya Baraza
66 Kulipokucha, Baraza la wazee wa Wayahudi, makuhani wakuu na walimu wa sheria wakakutana. Yesu akaletwa mbele yao.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica