Add parallel Print Page Options

64 Wakayafunika macho yake ili asiwaone. Kisha wakampiga na wakasema, “Tabiri, tuambie nani amekupiga!” 65 Walimtukana pia matusi ya kila aina.

Yesu Akiwa Mbele ya Viongozi wa Kidini

(Mt 26:59-66; Mk 14:55-64; Yh 18:19-24)

66 Alfajiri, viongozi wazee wa watu, viongozi wa makuhani na walimu wa sheria walikusanyika. Walimpeleka Yesu kwenye baraza lao kuu.

Read full chapter