Font Size
Luka 22:65-67
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 22:65-67
Neno: Bibilia Takatifu
65 Wakamwambia maneno mengi ya kumtukana. Yesu Apelekwa Mbele Ya Baraza
66 Kulipokucha, Baraza la wazee wa Wayahudi, makuhani wakuu na walimu wa sheria wakakutana. Yesu akaletwa mbele yao. 67 Wakamwambia, “Kama wewe ndiye Kristo, tuambie.” Yesu akawa jibu, “Hata nikiwaambia hamtaamini,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica