Font Size
Luka 22:68-70
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 22:68-70
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
68 Na ikiwa nitawauliza swali, hakika mtakataa kunijibu. 69 Lakini kuanzia sasa, Mwana wa Adamu atakaa upande wa kuume wa Mungu Mwenye Nguvu.”
70 Wote wakasema, “Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?” Akawajibu, “Mnaweza kusema kuwa mimi ni Mwana wa Mungu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International