Font Size
Luka 23:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 23:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
23 Wote waliokuwepo katika Baraza wakasimama, wakampeleka Yesu kwa Pilato. 2 Wakafungua mashtaka yao kwa kusema: “Tumem wona huyu mtu akipotosha taifa letu. Yeye anawaambia watu wasi lipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo, mfalme.” 3 Basi Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Ni kama ulivyosema.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica