Font Size
Luka 23:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 23:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakafungua mashtaka yao kwa kusema: “Tumem wona huyu mtu akipotosha taifa letu. Yeye anawaambia watu wasi lipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Kristo, mfalme.” 3 Basi Pilato akamwuliza Yesu, “Wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Yesu akamjibu, “Ni kama ulivyosema.” 4 Pilato akawaambia maku hani wakuu na watu wote waliokuwapo, “Sioni sababu ya kutosha kumshtaki huyu mtu!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica