Font Size
Luka 4:43-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 4:43-44
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
43 Lakini akawaambia, “Ni lazima nihubiri Habari Njema kuhusu Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa sababu nilitumwa kufanya hivyo.”
44 Kisha Yesu akahubiri Habari Njema katika masinagogi ya Uyahudi.
Read full chapter
Luka 4:43-44
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 4:43-44
Neno: Bibilia Takatifu
43 Lakini yeye akawaambia, “Ninao wajibu wa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu sehemu nyingine pia. Hii ndio sababu nilitumwa.” 44 Kwa hiyo akaende lea kuhubiri katika masinagogi ya Yudea. Yesu Awachagua Wanafunzi Wa Kwanza
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica