Font Size
Luka 7:46-48
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 7:46-48
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
46 Hukuniheshimu kwa mafuta kwa ajili ya kichwa changu, lakini yeye amenipaka miguu yangu manukato yanayonukia vizuri. 47 Ninakwambia kuwa dhambi zake zilizo nyingi zimesamehewa. Hii ni wazi, kwa sababu ameonesha upendo mkubwa. Watu wanaosamehewa kidogo hupenda kidogo.”
48 Kisha akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International