Font Size
Luka 7:48-50
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 7:48-50
Neno: Bibilia Takatifu
48 Akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.” 49 Ndipo wale wageni wengine waliokuwepo wakaanza kuulizana, “Hivi huyu ni nani, hata aweze kusamehe dhambi?” 50 Yesu akam wambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica