Font Size
Luka 8:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 8:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 “Mkulima mmoja alikwenda shambani kwake kupanda mbegu. Alipokuwa akitawa nya mbegu, nyingine zilianguka njiani zikakanyagwa kanyagwa; na ndege wakazila. 6 Na mbegu nyingine zilianguka penye miamba na zilipomea zikakauka kwa kukosa unyevu. 7 Na mbegu nyingine zil ianguka kwenye miiba, ikazisonga zikafa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica