Font Size
Luka 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 8:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Na mbegu nyingine zilianguka penye miamba na zilipomea zikakauka kwa kukosa unyevu. 7 Na mbegu nyingine zil ianguka kwenye miiba, ikazisonga zikafa. 8 Mbegu nyingine zilian guka penye udongo mzuri, nazo zikamea na kutoa mazao mara mia zaidi ya mbegu alizopanda.” Baada ya kutoa mfano huu akasema: “Mwenye nia ya kusikia na asikie!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica