Font Size
Luka 8:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Luka 8:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Na mbegu nyingine zil ianguka kwenye miiba, ikazisonga zikafa. 8 Mbegu nyingine zilian guka penye udongo mzuri, nazo zikamea na kutoa mazao mara mia zaidi ya mbegu alizopanda.” Baada ya kutoa mfano huu akasema: “Mwenye nia ya kusikia na asikie!”
9 Wanafunzi wake wakamwuliza maana ya mfano huu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica