Font Size
Luka 9:61-62
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 9:61-62
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
61 Mtu mwingine pia akamwambia, “Nitakufuata Bwana, lakini niruhusu kwanza nikaiage familia yangu.”
62 Yesu akamwambia, “Mtu yeyote anayeanza kulima, kisha akaangalia nyuma hajajiandaa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International