Font Size
Marko 10:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka
10 Yesu akaondoka mahali pale akavuka mto wa Yordani, akaenda sehemu ya Yudea. Umati wa watu ukamfuata tena na kama kawaida yake akawafundisha.
2 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia wakitaka kumtega, wakamwul iza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake?”
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwaamuruje?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica