Font Size
Marko 10:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia wakitaka kumtega, wakamwul iza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake?”
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwaamuruje?” 4 Wakamjibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica