Font Size
Marko 10:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 10:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Kisha baadhi ya Mafarisayo walimwendea na kumwuliza “Je, ni sahihi mtu kumtaliki mkewe?” Nao walimwuliza hivyo ili kumjaribu.
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwapa amri mfanye nini?”
4 Wakasema, “Musa alimpa ruhusa mume kuandika hati ya kutangua ndoa[a] na kisha kumtaliki mke wake.”
Read full chapterFootnotes
- 10:4 hati ya kutangua ndoa Ama talaka 24:1.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International