Font Size
Marko 10:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwaamuruje?” 4 Wakamjibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
5 Yesu akawaambia, “Musa aliwaandikia sheria hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica