Font Size
Marko 10:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 10:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwapa amri mfanye nini?”
4 Wakasema, “Musa alimpa ruhusa mume kuandika hati ya kutangua ndoa[a] na kisha kumtaliki mke wake.”
5 Yesu akawaambia, “Musa aliwaandikia amri hii kwa sababu ninyi ni wakaidi na hamkutaka kuyapokea mafundisho ya Mungu.
Read full chapterFootnotes
- 10:4 hati ya kutangua ndoa Ama talaka 24:1.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International