Font Size
Marko 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Wakamjibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
5 Yesu akawaambia, “Musa aliwaandikia sheria hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. 6 Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu aliwaumba mume na mke.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica