Font Size
Marko 10:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 10:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Wakasema, “Musa alimpa ruhusa mume kuandika hati ya kutangua ndoa[a] na kisha kumtaliki mke wake.”
5 Yesu akawaambia, “Musa aliwaandikia amri hii kwa sababu ninyi ni wakaidi na hamkutaka kuyapokea mafundisho ya Mungu. 6 Lakini tangu mwanzo wa uumbaji wake Mungu ‘aliwaumba mwanaume na mwanamke’.(A)
Read full chapterFootnotes
- 10:4 hati ya kutangua ndoa Ama talaka 24:1.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International