Font Size
Marko 10:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Yesu akawaambia, “Musa aliwaandikia sheria hiyo kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu. 6 Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu aliwaumba mume na mke. 7 Na kwa sababu hii mume atamwacha baba yake na mama yake na hao wawili, watakuwa mwili mmoja.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica