Font Size
Marko 10:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 10:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Lakini tangu mwanzo wa uumbaji, ‘Mungu aliwaumba mume na mke. 7 Na kwa sababu hii mume atamwacha baba yake na mama yake na hao wawili, watakuwa mwili mmoja.’ 8 Kwa hiyo hawatakuwa wawili tena bali mwili mmoja.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica