Font Size
Marko 10:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 10:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 ‘Basi kwa sababu ya hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, na kujiunga na mkewe. 8 Na hao wawili wataungana pamoja na kuwa mwili mmoja.’(A) Nao si wawili tena bali ni mwili mmoja. 9 Kwa hiyo, mtu yeyote asitenganishe kile ambacho Mungu amekiunganisha pamoja.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International