Font Size
Marko 13:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Ole wao akina mama waja wazito na watakaokuwa wakinyonyesha siku hizo! 18 Ombeni mambo haya yasitokee wakati wa masika. 19 Kwa maana siku hizo itaku wapo dhiki kuu ambayo haijapata kutokea tangu dunia ilipoumbwa, wala haitatokea tena.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica