Font Size
Marko 13:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Kwa maana siku hizo itaku wapo dhiki kuu ambayo haijapata kutokea tangu dunia ilipoumbwa, wala haitatokea tena. 20 Na kama Bwana hakuufupisha muda huo wa dhiki, hakuna mtu ambaye angesalimika; lakini kwa ajili ya watu wake aliowachagua, ameufupisha muda huo.
21 “Na wakati huo mtu akiwaambia, ‘Tazama, Kristo huyu hapa’ au , ‘Tazama, yule pale,’ msiamini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica