Font Size
Marko 13:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 “Na wakati huo mtu akiwaambia, ‘Tazama, Kristo huyu hapa’ au , ‘Tazama, yule pale,’ msiamini. 22 Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo nao watafanya ishara na miujiza ili kuwadanganya hata wale waliochaguliwa na Mungu, kama ikiwezekana. 23 Kwa hiyo jihadharini kwa maana nimewaambia mambo haya kabla hayajatokea.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica