Font Size
Marko 13:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
22 Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo nao watafanya ishara na miujiza ili kuwadanganya hata wale waliochaguliwa na Mungu, kama ikiwezekana. 23 Kwa hiyo jihadharini kwa maana nimewaambia mambo haya kabla hayajatokea.”
Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
24 “Siku hizo, baada ya hiyo dhiki, jua litatiwa giza na mwezi hautatoa mwanga wake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica