Font Size
Marko 13:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:23-25
Neno: Bibilia Takatifu
23 Kwa hiyo jihadharini kwa maana nimewaambia mambo haya kabla hayajatokea.”
Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
24 “Siku hizo, baada ya hiyo dhiki, jua litatiwa giza na mwezi hautatoa mwanga wake. 25 Nyota zitaanguka kutoka mbinguni na nguvu za anga zitatikisika.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica