Font Size
Marko 13:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 13:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
24 “Siku hizo, baada ya hiyo dhiki, jua litatiwa giza na mwezi hautatoa mwanga wake. 25 Nyota zitaanguka kutoka mbinguni na nguvu za anga zitatikisika. 26 Ndipo watu wote wataniona mimi Mwana wa Adamu nikija katika mawingu kwa nguvu nyingi na utu kufu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica