Font Size
Marko 13:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 13:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Atakaporudi Tena
(Mt 24:29-51; Lk 21:25-36; 19:12-13,40)
24 Lakini katika siku hizo, baada ya kipindi cha dhiki,
‘Jua litatiwa giza,
mwezi hautatoa mwanga,
25 nyota zitaanguka kutoka angani,
na mbingu yote itatikisika.’[a]
26 Ndipo watu watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na nguvu kubwa na utukufu.
Read full chapterFootnotes
- 13:24-25 Tazama Isa 13:10; 34:4.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International