Add parallel Print Page Options

25 nyota zitaanguka kutoka angani,
    na mbingu yote itatikisika.’[a]

26 Ndipo watu watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na nguvu kubwa na utukufu. 27 Baada ya hapo Mwana wa Adamu atawatuma malaika, na atawakusanya wateule wake kutoka kila upande wa dunia.

Read full chapter

Footnotes

  1. 13:24-25 Tazama Isa 13:10; 34:4.