Font Size
Marko 14:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 Mimi Mwana wa Adamu sina budi kufa kama maandiko yasemavyo. Lakini ole wake yeye atakayenisaliti. Ingelikuwa heri kama hakuz aliwa!”
Chakula Cha Bwana
22 Walipokuwa wakila, Yesu akachukua mkate, akashukuru , akaumega akawapa wanafunzi wake akisema, “Pokeeni, huu ni mwili wangu.” 23 Kisha akachukua kikombe, akashukuru, akawapa, wote wakanywa humo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica