Font Size
Marko 14:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Chakula Cha Bwana
22 Walipokuwa wakila, Yesu akachukua mkate, akashukuru , akaumega akawapa wanafunzi wake akisema, “Pokeeni, huu ni mwili wangu.” 23 Kisha akachukua kikombe, akashukuru, akawapa, wote wakanywa humo. 24 Akawaambia, “Hii ni damu yangu ya agano, inayomwagwa kwa faida ya wengi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica