Font Size
Marko 14:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 Petro akasema, “Hata kama wengine wote watakuacha, mimi sitakuacha.” Yesu akamwambia, “Ninakwambia hakika, usiku huu huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utakanusha mara tatu kwamba hunifahamu.” 31 Lakini Petro akasisitiza, “Hata kama ni lazima niuawe pamoja nawe, sitakukana.” Na wale wanafunzi wen gine wote wakasema hivyo hivyo.
Yesu Anasali Bustanini Gethsemane
32 Wakafika mahali paitwapo Gethsemane, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi naomba.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica