Font Size
Marko 14:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 Lakini Petro akasisitiza, “Hata kama ni lazima niuawe pamoja nawe, sitakukana.” Na wale wanafunzi wen gine wote wakasema hivyo hivyo.
Yesu Anasali Bustanini Gethsemane
32 Wakafika mahali paitwapo Gethsemane, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi naomba.” 33 Kisha aka wachukua Petro na Yakobo na Yohana. Akawa na huzuni na uchungu mwingi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica