Font Size
Marko 14:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Kisha aka wachukua Petro na Yakobo na Yohana. Akawa na huzuni na uchungu mwingi. 34 Akawaambia, “Moyo wangu umejaa huzuni kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.” 35 Akaenda mbele kidogo, akajitupa chi ni akaomba kuwa kama ikiwezekana saa hiyo ya mateso aiepuke.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica