Font Size
Marko 14:33-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:33-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
33 Naye Yesu akamchukua Petro, Yakobo, na Yohana pamoja naye, naye akaanza kusumbuka sana. 34 Akawaambia, “Nina huzuni sana na ninafikiri inaweza kuniua. Kaeni hapa, na mjihadhari.”
35 Akiendelea mbele kidogo, alianguka chini, na akaomba ikiwezekana angeiepuka saa ya mateso.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International