Font Size
Marko 14:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Akawaambia, “Moyo wangu umejaa huzuni kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.” 35 Akaenda mbele kidogo, akajitupa chi ni akaomba kuwa kama ikiwezekana saa hiyo ya mateso aiepuke. 36 Akasema, “Aba, Baba, mambo yote yawezekana kwako. Tafadhali niondolee kikombe hiki cha mateso. Lakini si kama nitakavyo mimi, bali mapenzi yako yatimizwe.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica