Font Size
Marko 14:38-40
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:38-40
Neno: Bibilia Takatifu
38 Kesheni na kuomba msije mkaingia katika majar ibu. Roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.” 39 Akaondoka tena akaenda kuomba akisema maneno yale yale. 40 Aliporudi tena ali wakuta wanafunzi wake wamelala; macho yao yalikuwa mazito na hawakujua la kumwambia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica