Font Size
Marko 14:44-46
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:44-46
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
44 Msaliti alikuwa tayari amewapa ishara: “Yule ambaye nitambusu ndiye mwenyewe. Mkamateni, mlindeni na muwe waangalifu mnapomwondoa.” 45 Mara tu Yuda alipowasili, alimwendea Yesu. Alipomkaribia alisema, “Mwalimu!” Kisha akambusu. 46 Ndipo walipomkamata na kumshikilia.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International