Font Size
Marko 14:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:45-47
Neno: Bibilia Takatifu
45 Kwa hiyo Yuda alipofika, alimwendea Yesu akamwambia, “Mwalimu,” akambusu. 46 Wakamkamata Yesu, wakamweka chini ya ulinzi. 47 Lakini mmoja wa wale waliokuwa wamesimama hapo aka chukua upanga akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica