Font Size
Marko 14:45-47
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:45-47
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
45 Mara tu Yuda alipowasili, alimwendea Yesu. Alipomkaribia alisema, “Mwalimu!” Kisha akambusu. 46 Ndipo walipomkamata na kumshikilia. 47 Mmoja wa wale waliosimama naye karibu akautoa upanga wake alani, akampiga nao mtumishi wa kuhani mkuu na kulikata sikio lake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International