Font Size
Marko 14:48-50
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:48-50
Neno: Bibilia Takatifu
48 Kisha Yesu akasema, “Mbona mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu? Kwani mimi ni jambazi? 49 Siku zote nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni wala hamkunikamata. Lakini Maandiko lazima yatimie. ” 50 Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica