Font Size
Marko 14:49-51
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:49-51
Neno: Bibilia Takatifu
49 Siku zote nilikuwa pamoja nanyi nikifundisha Hekaluni wala hamkunikamata. Lakini Maandiko lazima yatimie. ” 50 Ndipo wanafunzi wake wote wakamwacha, wakakimbia. 51 Kijana mmoja aliyekuwa amevaa shuka tu alikuwa akimfuata Yesu. Walipomkamata,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica