Font Size
Marko 14:49-51
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:49-51
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
49 Kila siku nilikuwa nanyi, nikifundisha Hekaluni na hamkujaribu kunikamata wakati huo. Lakini Maandiko lazima yatimie.” 50 Wafuasi wake wote walimwacha na kumkimbia.
51 Miongoni mwa watu waliomfuata Yesu alikuwa kijana mmoja aliyevaa kipande cha nguo. Watu walipotaka kumkamata
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International