Font Size
Marko 14:52-54
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:52-54
Neno: Bibilia Takatifu
52 alikimbia uchi, akaacha shuka lake.
Yesu Afikishwa Barazani
53 Kisha wakampeleka Yesu nyumbani kwa kuhani mkuu ambapo makuhani wakuu, wazee, na walimu wa sheria walikuwa wamekuta nika. 54 Petro aliwafuata kwa mbali, akaingia barazani kwa kuhani mkuu, akaketi pamoja na walinzi akiota moto.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica