Font Size
Marko 14:56-58
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:56-58
Neno: Bibilia Takatifu
56 Wengi walitoa ushahidi wa uongo, lakini ushahidi wao haukupatana.
57 Ndipo watu fulani wakasimama wakatoa ushahidi wa uongo wakisema, 58 “Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitabomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga lin gine ambalo halikujengwa na wanadamu.’ ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica