Font Size
Marko 14:58-60
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:58-60
Neno: Bibilia Takatifu
58 “Sisi tulimsikia akisema, ‘Mimi nitabomoa Hekalu hili lililojengwa na wanadamu, na katika siku tatu nitajenga lin gine ambalo halikujengwa na wanadamu.’ ” 59 Lakini hata hawa, ushahidi wao ulipingana.
60 Kuhani Mkuu akasimama mbele ya Baraza akamwuliza Yesu, “Huwezi kujibu mashtaka haya ambayo watu hawa wameleta juu yako?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica