Font Size
Marko 14:59-61
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:59-61
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
59 Lakini hata katika ushahidi wao huu hawakukubaliana.
60 Kisha kuhani mkuu akasimama mbele yao na akamwuliza Yesu, “Je, wewe hutajibu? Nini ushahidi huu ambao watu wanaleta dhidi yako?” 61 Lakini Yesu alinyamaza kimya na hakutoa jibu lolote.
Kwa mara nyingine kuhani mkuu akamwuliza, “Je, wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu anayesifiwa?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International